MSIKITI WA UKRAINE WALIPULIWA NA JESHI LA URUSSI
Serikali ya Ukraine imesema jeshi la Urusi limeshambulia kwa mizinga msikiti unaowahifadhi zaidi ya watu 80 leo katika mji unaozingirwa wa Mariupol .
Taarifa ya serikali haikuwa na ripoti zaidi za kuwepo kwa majeruhi.
Comments