MANENO YA PAPA FRANCIS KUHUSU YANAYOENDELEA UKRAINE NA RUSIA
Kufuatia vitendo vya kuashiria vita vinavyoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amesema hatari ya vita ilmesababisha maumivu makali moyoni mwake.
Ametoa wito kwa watu wote kutumia siku ya Machi 2, 2022 ambayo ni Jumatano ya Majivu, kufunga na kuiombea Ukraine.
Ripoti zinaonesha tayari Russia imeanza kuishambulia Ukraine. Hata hivyo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba amesema watashinda vita hiyo. Nukuu ya papa “Call to prayer and fasting requested by Pope Francis for March 2, 2022
Pope Francis: "I have great pain in my heart over the worsening situation in Ukraine,"
"I would like all those who have the political
responsibility to make a serious examination of
conscience before God, who is the God of peace
and not of war... He wants us to be brothers and
not enemies. I pray that all parties involved will
refrain from any action that will cause even more
suffering for people, destabilizing coexistence
among nations and undermining international law."
"And now, I would like to appeal to everyone,
believers and non-believers alike. Jesus taught us
that the diabolical evil of violence is answered
with the weapons of God, with prayer and
fasting,"
"I invite everyone to make next March 2, Ash
Wednesday, a day of fasting for peace. I
encourage believers in a special way to devote
themselves intensely to prayer and fasting on that
day. May the Queen of Peace preserve the world
from the madness of war."
Mwisho wa kunukuu.
Comments