WAANDAMANAJI WA URUSI WAKUSANYIKA KATIKATI YA MJI ALIOZALIWA PUTIN

 

Waandamanaji wa Urusi wamekusanyika katikati mwa St. Petersburg Urusi kupinga hatua ya Vladimir Putin katika mji aliozaliwa Rais Vladimir Putin huko Saint Petersburg.


Maelfu ya raia wa Urusi wamesimama na Ukraine wakikabiliwa na hatari kubwa kwa usalama wao, wakitaka kukomeshwa mara moja kwa uvamizi wa Urusi.



Wakati huo huo, Waandamanaji  huko Moscow, ripoti inasema takriban raia 1,800 wa Urusi tayari wamekamatwa, na kuzuiliwa.

Comments

Popular posts from this blog

RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA KWA WATOTO

SERIKALI YAHAKIKISHA USAFIRI BORA BRT AWAMU YA PILI

RAIS WA CABO VERDE ASISITIZA UTAWALA BORA NA ULIPAJI FIDIA KWA AFRIKA KATIKA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA