DKT. SAMIA AWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WANAFUNZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatunuku Kamisheni pamoja Shahada ya Sayansi ya Kijeshi (BMS), Maafisa wanafunzi Kundi la 05/21 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha.















 

Comments

Popular posts from this blog

RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA KWA WATOTO

SERIKALI YAHAKIKISHA USAFIRI BORA BRT AWAMU YA PILI

RAIS WA CABO VERDE ASISITIZA UTAWALA BORA NA ULIPAJI FIDIA KWA AFRIKA KATIKA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA