DKT. SAMIA AWATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WANAFUNZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatunuku Kamisheni pamoja Shahada ya Sayansi ya Kijeshi (BMS), Maafisa wanafunzi Kundi la 05/21 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha.















Comments