HAKIKI NAMBA YAKO KUNA NIDA ZIMESAJILI NAMBA ZA WAHALIFU
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa amewataka Wananchi kuhakiki namba zao za simu walizosajili katika vitambulisho vyao vya Nida ili kuepuka wahalifu kuzitumia.
Kadhalika Waziri Silaa amewataka wananchi kutumia namba 100 kupata huduma za simu na si vinginevyo.

Comments