JE? WAIJUA MLANGO WA KUZIMU?"A DOOR TO HELL"?


 Huko nchini Turkmenistan Wanasayansi waliwahi kuwasha moto  shimo lililojaa Gesi Asilia Inayowaka Moto tangu 1971, wakitarajia kuwa ingewaka kwa siku chache tu lakini Shimo hilo limekuwa likiungua kwa jumla ya miaka 53 hadi sasa. Shimo hilo la moto linaitwa "Mlango wa Kuzimu".(A door to hell) na limegeuka kuwa kivutio.Itaendelea.......

Comments

Popular posts from this blog

RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA KWA WATOTO

SERIKALI YAHAKIKISHA USAFIRI BORA BRT AWAMU YA PILI

RAIS WA CABO VERDE ASISITIZA UTAWALA BORA NA ULIPAJI FIDIA KWA AFRIKA KATIKA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA