MWANAMZIKI MKONGWE KING KIKII AMEFARIKI DUNIA



 

TANZIA: Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi  nchini Boniface Kikumbi Mwanza Mpango maarufu King Kikii amefariki dunia. 


King Kikii ameugua kwa muda mrefu, na amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 15, 2024 katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu. 


Miongoni mwa nyimbo za King Kikii zilizotamba sana ni Kitambaa Cheupe.


#R.I.P #zilipendwa #mziki

#music

Comments

Popular posts from this blog

RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA KWA WATOTO

SERIKALI YAHAKIKISHA USAFIRI BORA BRT AWAMU YA PILI

RAIS WA CABO VERDE ASISITIZA UTAWALA BORA NA ULIPAJI FIDIA KWA AFRIKA KATIKA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA