URUSI INAANDAA MASHAMBULIZI MAKUBWA YA KULIPIZA KISASI KWA UKRAINE


Urusi imetangaza mipango ya kufanya mashambulizi makubwa ya kulipiza kisasi dhidi ya Ukraine kufuatia matumizi ya silaha za masafa marefu zinazotolewa na Magharibi. 

Putini amesema hayo leo Desemba 11, 2024 Katika tamko rasmi, serikali ya Urusi imesema:


“Shambulio hili la silaha za masafa marefu za Magharibi halitakosa jibu, na hatua zinazofaa zitachukuliwa.”alisema Putin


Tangazo hili linaongeza mvutano mkubwa katika vita vinavyoendelea, huku kukiwa na hofu ya kuongezeka kwa machafuko katika kanda hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA KWA WATOTO

SERIKALI YAHAKIKISHA USAFIRI BORA BRT AWAMU YA PILI

RAIS WA CABO VERDE ASISITIZA UTAWALA BORA NA ULIPAJI FIDIA KWA AFRIKA KATIKA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA