BREAKING NEWS: RAIS WA KIJESHI WA MALI AWAFUNGA MAWAZIRI 11 KWA UFISADI


 

Rais wa kijeshi wa Mali amewatia mbaroni watu 11 wakiwemo mawaziri wa zamani, kwa kosa la kufuja zaidi ya Bilioni 80 za CFA.


Katika hotuba yake kwa wananchi, Rais huyo alifichua kuwa fedha hizo zilikuwa za watu maskini, zilikusudiwa kutumika kuendeleza taifa, lakini kwa sababu ya tamaa na uchoyo, viongozi hao walizitumia kwa maslahi yao binafsi.


Kwa sasa, wote waliohusika wako gerezani wakikabiliwa na mashitaka ya ufisadi mkubwa wa mali ya umma.

Comments

Popular posts from this blog

RAIS SAMIA AHIMIZA MALEZI BORA KWA WATOTO

SERIKALI YAHAKIKISHA USAFIRI BORA BRT AWAMU YA PILI

RAIS WA CABO VERDE ASISITIZA UTAWALA BORA NA ULIPAJI FIDIA KWA AFRIKA KATIKA UFUNGUZI WA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA